{"id":727,"date":"2024-01-10T14:15:39","date_gmt":"2024-01-10T14:15:39","guid":{"rendered":"http:\/\/localhost\/bundaweb\/?page_id=727"},"modified":"2024-01-19T08:21:56","modified_gmt":"2024-01-19T08:21:56","slug":"namna-ya-kufanya-malipo","status":"publish","type":"page","link":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/namna-ya-kufanya-malipo\/","title":{"rendered":"JINSI YA KUFANYA MALIPO"},"content":{"rendered":"<p><strong>MAELEZO YA JINSI YA KULIPIA BILL (MAELEZO KWA MTEJA)<\/strong><\/p>\n<ol>\n<li><strong> KWA NJIA YA SIMU ZA KIGANJANI <\/strong><\/li>\n<\/ol>\n<ul>\n<li>Malipo yanaweza kufanyika kupitia huduma za simu za kiganjani <strong>(TIGOPESA, M-PESA, AIRTELMONEY, T-PESA, HALOPESA, EZYPESA)<\/strong> kwa kupitia mitandao mbalimbali ya simu kama ifuatavyo;<\/li>\n<li><strong>Ingia kwenye menu ya mtandao husika<\/strong><\/li>\n<li><strong>Chagua 4 (Lipa Bili)<\/strong><\/li>\n<li><strong>Chagua 5 (Malipo ya Serikali)<\/strong><\/li>\n<li><strong>Ingiza Namba ya kumbukumbu ya malipo (Iliyopo kwenye bili) <\/strong><\/li>\n<li><strong>Ingiza kiasi cha pesa<\/strong><\/li>\n<li><strong>Weka namba ya siri<\/strong><\/li>\n<\/ul>\n<p><strong>\u00a0<\/strong><\/p>\n<p><strong>Namna ya kulipia kwa Tigopesa<\/strong><\/p>\n<ol>\n<li>Piga *150*01#<\/li>\n<li>Chagua namba (4) \u201cLipa Bili\u201d<\/li>\n<li>Chagua (5) \u201cMalipo ya Serikali\u201d<\/li>\n<li>Ingiza namba ya kumbukumbu ya malipo (Control number)<\/li>\n<li>Ingiza kiasi cha pesa unachotaka kulipa<\/li>\n<li>Ingiza namba ya siri kuhakiki<\/li>\n<\/ol>\n<p><strong>Namna ya kulipia kwa M-Pesa<\/strong><\/p>\n<ol>\n<li>Piga *150*00#<\/li>\n<li>Chagua namba (4) \u201cLipa kwa M-Pesa\u201d<\/li>\n<li>Chagua (5) \u201cMalipo ya Serikali\u201d<\/li>\n<li>Chagua namba 1 Namba ya Malipo<\/li>\n<li>Ingiza namba ya kumbukumbu ya malipo (Control Number)<\/li>\n<li>Ingiza kiasi cha pesa unachotaka kulipa<\/li>\n<li>Ingiza namba ya siri<\/li>\n<li>Thibitisha kwa kuchagua (1)<\/li>\n<\/ol>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p><strong>Namna ya kulipia kwa airtelmoney<\/strong><\/p>\n<ol>\n<li>Piga *150*60#<\/li>\n<li>Chagua namba (5) \u201cLipia Bili\u201d<\/li>\n<li>Chagua (5) \u201cMalipo ya Serikali\u201d<\/li>\n<li>Chagua namba 1 \u201cWeka namba ya kumbukumbu\u201d<\/li>\n<li>Ingiza namba ya kumbukumbu ya malipo (control number)<\/li>\n<li>Ingiza kiasi cha pesa<\/li>\n<li>Weka namba ya siri<\/li>\n<\/ol>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p><strong>Namna ya kulipia kwa T-Pesa<\/strong><\/p>\n<ol>\n<li>Piga *150*71#<\/li>\n<li>Chagua namba (5) \u201cLipia Bili\u201d<\/li>\n<li>Chagua (3) \u201cMalipo ya Serikali\u201d<\/li>\n<li>Ingiza kumbukumbu namba (control number)<\/li>\n<li>Ingiza kiasi<\/li>\n<li>Ingiza namba ya siri<\/li>\n<\/ol>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p><strong>Namna ya kulipia kwa halopesa<\/strong><\/p>\n<ol>\n<li>Piga *150*88#<\/li>\n<li>Chagua namba (5) lipia bili<\/li>\n<li>Chagua (5) malipo ya serikali<\/li>\n<li>Weka namba ya kumbukumbu ya malipo (control number)<\/li>\n<li>Ingiza kiasi cha pesa<\/li>\n<li>Weka namba ya siri<\/li>\n<\/ol>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p><strong>Namna ya kulipia kwa Ezypesa<\/strong><\/p>\n<ol>\n<li>Piga *150*02#<\/li>\n<li>Chagua namba (8) malipo ya serikali<\/li>\n<li>Chagua (1) Tanzania Bara<\/li>\n<li>Weka namba ya kumbukumbu ya malipo (control number)<\/li>\n<li>Ingiza kiasi cha pesa<\/li>\n<li>Weka namba ya siri<\/li>\n<\/ol>\n<ol start=\"2\">\n<li><strong> KWA NJIA YA KUWEKA FEDHA BENKI (DIRECT BANK DEPOSIT)<\/strong><\/li>\n<\/ol>\n<p>Malipo yanaweza kufanyika kwa kuweka fedha katika benki zifuatazo, mfano: NMB, CRDB kwa kupitia matawi ya benki, mawakala wa Benki na njia nyingine za malipo zitolewazo na Benki. Tumia Namba ya kumbukumbu ya Malipo (Control Number) uliyopewa unapofanya Malipo.<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<ol start=\"3\">\n<li><strong> KWA NJIA YA KUHAMISHA FEDHA (TISS)<\/strong><\/li>\n<\/ol>\n<p>Malipo yanaweza kufanyika kwa njia ya kuhamisha Fedha kutoka benki moja kwenda benki nyingine ndani ya Tanzania (TISS). Mteja \/ Mlipaji atapatiwa fomu za kuhamishia fedha na Mamlaka ya Maji Bunda baada ya kuichapisha (Printed Transfer Form \/ Bill) na ataipeleka na kuiwasilisha katika benki atakayoitumia kuhamisha fedha na hatatakiwa kujaza upya fomu.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<div class=\"mh-excerpt\"><p>MAELEZO YA JINSI YA KULIPIA BILL (MAELEZO KWA MTEJA) KWA NJIA YA SIMU ZA KIGANJANI Malipo yanaweza kufanyika kupitia huduma za simu za kiganjani (TIGOPESA, <a class=\"mh-excerpt-more\" href=\"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/namna-ya-kufanya-malipo\/\" title=\"JINSI YA KUFANYA MALIPO\">[&#8230;]<\/a><\/p>\n<\/div>","protected":false},"author":1,"featured_media":0,"parent":0,"menu_order":0,"comment_status":"closed","ping_status":"closed","template":"","meta":{"footnotes":""},"class_list":["post-727","page","type-page","status-publish","hentry"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/727","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/pages"}],"about":[{"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/page"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=727"}],"version-history":[{"count":2,"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/727\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":1081,"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/727\/revisions\/1081"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=727"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}