{"id":186,"date":"2020-08-21T13:14:07","date_gmt":"2020-08-21T13:14:07","guid":{"rendered":"http:\/\/wacoms.buwssa.go.tz\/buwssaweb\/?page_id=186"},"modified":"2024-01-18T15:29:03","modified_gmt":"2024-01-18T15:29:03","slug":"kusitishiwa-huduma-ya-maji-kwa-mteja","status":"publish","type":"page","link":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/kusitishiwa-huduma-ya-maji-kwa-mteja\/","title":{"rendered":"USITISHAJI NA UREJESHAJI WA HUDUMA YA MAJI KWA MTEJA"},"content":{"rendered":"\n<h3 class=\"wp-block-heading\">KUSITISHIWA HUDUMA YA MAJI KWA MTEJA<\/h3>\n\n\n\n<ol class=\"wp-block-list\" style=\"list-style-type:lower-alpha\">\n<li>Mamlaka itamuondolea huduma mteja atakayeshindwa&nbsp;kulipa ankara ya mwezi baada ya siku 30 tangu alipopata Ankara ya maji.<\/li>\n\n\n\n<li>Wateja wanaweza wasipewe taarifa nyingine ya ziada zaidi ya iliyoko kwenye Ankara ya madai ambayo ni notisi iliyojitosheleza kabla ya kusitishiwa huduma.<\/li>\n\n\n\n<li>Kusitishwa kwa huduma kutafanyika wakati wowote endapo mteja atagundulika kuwa anatumia maji kinyume na sheria na kwa njia isivyo halali. Hatua hii itaenda sambamba na kuchukuliwa hatua za kisheria.<\/li>\n\n\n\n<li>Wateja waliowahi kuondolewa kwenye huduma na kukutwa wamejirudishia huduma isivyo halali wataondolewa tena kwenye huduma na kuchukuliwa hatua za kisheria.<\/li>\n\n\n\n<li>Mamlaka haitamuondolea mteja huduma siku zifuatazo;\n<ul class=\"wp-block-list\">\n<li><a>Ijumaa baada ya saa 06: 00 mchana<\/a><\/li>\n\n\n\n<li><a><\/a><a>Siku za Jumamosi na Jumapili<\/a><strong><\/strong><\/li>\n\n\n\n<li><a>Siku za siku kuu za Kitaifa<\/a><\/li>\n<\/ul>\n<\/li>\n<\/ol>\n\n\n\n<h3 class=\"wp-block-heading\">UREJESHWAJI WA HUDUMA<\/h3>\n\n\n\n<ol class=\"wp-block-list\" style=\"list-style-type:lower-alpha\">\n<li>Mteja atakayesitishiwa huduma ya maji kwa kutolipia ankara atarejeshewa huduma baada ya kulipa deni analodaiwa na adhabu ya kutolipa deni husika kwa wakati ndani ya masaa 24.<\/li>\n\n\n\n<li>Wateja watakao ondolewa huduma kutokana na kujiunganishia huduma ya maji bila halali watarejeshewa huduma baada ya kulipa ada husika, fidia ya maji waliyotumia na adhabu.<\/li>\n\n\n\n<li>Baada ya kukubaliana na Mamlaka kuhusu namna ya kulipa deni.<\/li>\n\n\n\n<li>Baada ya kubaini kwa uhakika kwamba mteja aliondolewa huduma kimakosa.<\/li>\n\n\n\n<li>Kama uondoaji huo ulitokana na shughuli za kiutendaji na kiufundi za Mamlaka.<\/li>\n<\/ol>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<div class=\"mh-excerpt\"><p>KUSITISHIWA HUDUMA YA MAJI KWA MTEJA UREJESHWAJI WA HUDUMA<\/p>\n<\/div>","protected":false},"author":1,"featured_media":0,"parent":0,"menu_order":0,"comment_status":"closed","ping_status":"closed","template":"","meta":{"footnotes":""},"class_list":["post-186","page","type-page","status-publish","hentry"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/186","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/pages"}],"about":[{"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/page"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=186"}],"version-history":[{"count":12,"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/186\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":996,"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/186\/revisions\/996"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/www.buwssa.go.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=186"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}