Jinsi ya Kulipa

1.  Kupitia Benki: Fika tawi lolote au Wakala wa benki ya NMB, CRDB na Namba ya kumbukumbu ya malipo.

2. Kupitia Mitandao ya Simu:
Ingia kwenye menu ya mtandao husika

  • Chagua 4 (Lipa Bili)
  • Chagua 5 (Malipo ya Serikali)
  • Ingiza Namba ya kumbukumbu ya malipo (Iliyopo kwenye bili)
  • Ingiza kiasi cha pesa
  • Weka namba ya siri